1 Mambo ya Nyakati 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi, nasema machoni pa Waisraeli wote, kutaniko la Yehova, na masikioni mwa Mungu wetu: Shikeni kwa uangalifu na mtafute amri zote za Yehova Mungu wenu, ili mwimiliki nchi nzuri+ na kuwaachia wana wenu kuwa urithi wa kudumu baada yenu.
8 Basi, nasema machoni pa Waisraeli wote, kutaniko la Yehova, na masikioni mwa Mungu wetu: Shikeni kwa uangalifu na mtafute amri zote za Yehova Mungu wenu, ili mwimiliki nchi nzuri+ na kuwaachia wana wenu kuwa urithi wa kudumu baada yenu.