2 Samweli 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ nami hakika nitakifanya imara kiti cha ufalme wake mpaka wakati usio na kipimo.+ 1 Wafalme 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Wewe mwenyewe unajua vema kwamba Daudi baba yangu hakuweza kujenga nyumba kwa jina la Yehova, Mungu wake, kwa sababu ya vita+ walivyomzunguka navyo pande zote, mpaka Yehova alipowaweka chini ya miguu yake. 1 Mambo ya Nyakati 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Nenda, ukamwambie Daudi mtumishi wangu, ‘Yehova amesema hivi: “Si wewe utakayenijengea mimi nyumba ya kukaa.+
13 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ nami hakika nitakifanya imara kiti cha ufalme wake mpaka wakati usio na kipimo.+
3 “Wewe mwenyewe unajua vema kwamba Daudi baba yangu hakuweza kujenga nyumba kwa jina la Yehova, Mungu wake, kwa sababu ya vita+ walivyomzunguka navyo pande zote, mpaka Yehova alipowaweka chini ya miguu yake.
4 “Nenda, ukamwambie Daudi mtumishi wangu, ‘Yehova amesema hivi: “Si wewe utakayenijengea mimi nyumba ya kukaa.+