8 Lakini neno la Yehova lilikuja dhidi yangu, na kusema, ‘Umemwaga damu nyingi sana,+ nawe umepigana vita vikubwa.+ Wewe hutajenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ kwa kuwa umemwaga damu nyingi sana duniani mbele zangu.
8 Lakini Yehova akamwambia Daudi baba yangu, ‘Kwa sababu lilikuwa jambo lililo moyoni mwako kujenga nyumba kwa ajili ya jina langu, ulifanya vema, kwa sababu lilikuwa jambo lililo moyoni mwako.+