1 Wafalme 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini Yehova akamwambia Daudi baba yangu, ‘Kwa sababu lilikuwa jambo lililo moyoni mwako kujenga nyumba kwa ajili ya jina langu, ulifanya vema, kwa sababu lilikuwa jambo lililo moyoni mwako.+ 2 Wakorintho 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana ikiwa utayari upo kwanza, hukubalika zaidi kulingana na kile ambacho mtu anacho,+ si kulingana na kile ambacho mtu hana.
18 Lakini Yehova akamwambia Daudi baba yangu, ‘Kwa sababu lilikuwa jambo lililo moyoni mwako kujenga nyumba kwa ajili ya jina langu, ulifanya vema, kwa sababu lilikuwa jambo lililo moyoni mwako.+
12 Kwa maana ikiwa utayari upo kwanza, hukubalika zaidi kulingana na kile ambacho mtu anacho,+ si kulingana na kile ambacho mtu hana.