8 Lakini ikiwa amekuwa maskini mno kwa ajili ya ile thamani iliyokadiriwa,+ ndipo atakapomsimamisha mtu huyo mbele ya kuhani, naye kuhani atakadiria thamani yake.+ Kulingana na anachoweza+ yule mwenye kuweka nadhiri, kuhani atakadiria thamani yake.
10 Halafu utasherehekea sherehe ya majuma kwa Yehova Mungu wako,+ kulingana na toleo la hiari la mkono wako ambalo utatoa, kama vile Yehova Mungu wako atakavyokuwa amekubariki.+
43 Kwa hiyo akawaita wanafunzi wake na kuwaambia: “Kwa kweli ninawaambia kwamba mjane huyu maskini ametumbukiza nyingi kuliko wote waliokuwa wakitumbukiza pesa ndani ya masanduku ya hazina;+