Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 27:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini ikiwa amekuwa maskini mno kwa ajili ya ile thamani iliyokadiriwa,+ ndipo atakapomsimamisha mtu huyo mbele ya kuhani, naye kuhani atakadiria thamani yake.+ Kulingana na anachoweza+ yule mwenye kuweka nadhiri, kuhani atakadiria thamani yake.

  • Kumbukumbu la Torati 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Halafu utasherehekea sherehe ya majuma kwa Yehova Mungu wako,+ kulingana na toleo la hiari la mkono wako ambalo utatoa, kama vile Yehova Mungu wako atakavyokuwa amekubariki.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Zawadi ya mkono wa kila mtu itakuwa kulingana na baraka za Yehova Mungu wako ambazo amekupa wewe.+

  • Methali 3:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Usiwanyime watu mema wanayostahili,+ mkono wako ukiwa na uwezo wa kuyafanya.+

  • Marko 12:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Kwa hiyo akawaita wanafunzi wake na kuwaambia: “Kwa kweli ninawaambia kwamba mjane huyu maskini ametumbukiza nyingi kuliko wote waliokuwa wakitumbukiza pesa ndani ya masanduku ya hazina;+

  • Luka 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 naye akasema: “Ninawaambia ninyi kwa kweli, Mjane huyu, ijapokuwa ni maskini, ametumbukiza ndani zaidi kuliko hao wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki