8 Lakini ikiwa mtu anayeweka nadhiri hawezi kulipa thamani iliyokadiriwa kwa sababu ni maskini sana,+ mtu huyo atasimama mbele ya kuhani, naye kuhani atakadiria thamani yake. Atakadiria thamani yake kulingana na kiasi ambacho mtu anayeweka nadhiri anaweza kulipa.+