26 “‘Na katika siku ya matunda yaliyoiva ya kwanza,+ mtakapomtolea Yehova toleo la nafaka mpya, katika sherehe yenu ya majuma+ mtafanya mkusanyiko mtakatifu. Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.+
13 kama desturi ya kila siku+ ili kutoa matoleo kulingana na amri ya Musa kwa ajili ya sabato+ na kwa ajili ya miezi mipya+ na kwa ajili ya sherehe rasmi+ mara tatu kwa mwaka,+ kwenye sherehe ya keki zisizo na chachu+ na kwenye sherehe ya majuma+ na kwenye sherehe ya vibanda.+