21 Nanyi mtatoa tangazo+ siku hiyo; kutakuwa na mkusanyiko mtakatifu kwa ajili yenu. Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote. Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo katika makao yenu yote kwa vizazi vyenu vyote.
10 Halafu utasherehekea sherehe ya majuma kwa Yehova Mungu wako,+ kulingana na toleo la hiari la mkono wako ambalo utatoa, kama vile Yehova Mungu wako atakavyokuwa amekubariki.+