Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 16:1

Marejeo

  • +Kut 12:2; 13:4
  • +Kut 12:14; Law 23:5; Hes 9:2; 28:16; 1Ko 5:7; Ebr 11:28
  • +Kut 34:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, kur. 2012, 2116

Kumbukumbu la Torati 16:2

Marejeo

  • +Mt 26:17; Lu 22:7
  • +Kut 12:5; 2Nya 35:7
  • +Kum 12:5; 1Fa 8:29

Kumbukumbu la Torati 16:3

Marejeo

  • +Kut 13:3; Law 23:6; Hes 28:17; 1Ko 5:8
  • +Kut 12:33
  • +Kut 12:14; 13:8, 9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1990, uku. 15

Kumbukumbu la Torati 16:4

Marejeo

  • +Kut 12:15; 13:7
  • +Kut 12:10; 34:25

Kumbukumbu la Torati 16:6

Marejeo

  • +Kum 16:2
  • +Kut 12:6; Hes 9:3; Mt 26:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1990, uku. 10

Kumbukumbu la Torati 16:7

Marejeo

  • +Kut 12:8; 2Nya 35:13
  • +2Fa 23:23; Yoh 2:13; 11:55

Kumbukumbu la Torati 16:8

Marejeo

  • +Kut 12:16; Law 23:8

Kumbukumbu la Torati 16:9

Marejeo

  • +Kut 23:16; 34:22; Law 23:15

Kumbukumbu la Torati 16:10

Marejeo

  • +Hes 28:26; 2Nya 8:13
  • +Kum 16:17; 1Ko 16:2; 2Ko 8:12

Kumbukumbu la Torati 16:11

Marejeo

  • +Kum 12:7
  • +Hes 15:16
  • +Kum 10:18
  • +Yak 1:27
  • +Kum 12:5

Kumbukumbu la Torati 16:12

Marejeo

  • +Mwa 15:13; Kut 3:7; Kum 5:15
  • +Mhu 12:13; 1Yo 5:3

Kumbukumbu la Torati 16:13

Marejeo

  • +Kut 23:16; Law 23:34; Hes 29:12; Kum 31:10; Zek 14:16; Yoh 7:2

Kumbukumbu la Torati 16:14

Marejeo

  • +Law 23:40; Kum 12:12; 26:11; Ne 8:10, 17; Mhu 5:18

Kumbukumbu la Torati 16:15

Marejeo

  • +Law 23:36; Ne 8:18
  • +Kum 7:13; 28:8; 30:16
  • +Flp 4:4; 1Th 5:16

Kumbukumbu la Torati 16:16

Marejeo

  • +Kut 23:14; 34:23
  • +Kut 23:15; Law 23:6; Hes 28:17
  • +Kum 16:10
  • +Kum 16:13
  • +Kut 23:15; 34:20; Zb 96:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2022, uku. 24

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1998, kur. 8-9

    9/15/1995, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 3/1 8-9

Kumbukumbu la Torati 16:17

Marejeo

  • +Kum 16:10; 2Ko 8:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 46

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, kur. 196-197

Kumbukumbu la Torati 16:18

Marejeo

  • +Kut 18:26; Kum 1:16; 2Nya 19:5
  • +Hes 11:16; 1Nya 23:4

Kumbukumbu la Torati 16:19

Marejeo

  • +Kut 23:2; Law 19:15; 1Sa 8:3
  • +Kum 1:17; Met 24:23; Mdo 10:34
  • +Kut 23:8; 1Sa 12:3; Mhu 7:7; Amo 5:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1989, uku. 12

    10/1/1986, uku. 30

Kumbukumbu la Torati 16:20

Marejeo

  • +Kum 25:16; Eze 18:8; Mik 6:8
  • +Kum 4:1

Kumbukumbu la Torati 16:21

Marejeo

  • +Kut 34:13; Amu 3:7; 2Nya 33:3

Kumbukumbu la Torati 16:22

Marejeo

  • +Kut 23:24; Law 26:1; Kum 12:3
  • +Kum 12:31; Yer 44:4

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 16:1Kut 12:2; 13:4
Kum. 16:1Kut 12:14; Law 23:5; Hes 9:2; 28:16; 1Ko 5:7; Ebr 11:28
Kum. 16:1Kut 34:18
Kum. 16:2Mt 26:17; Lu 22:7
Kum. 16:2Kut 12:5; 2Nya 35:7
Kum. 16:2Kum 12:5; 1Fa 8:29
Kum. 16:3Kut 13:3; Law 23:6; Hes 28:17; 1Ko 5:8
Kum. 16:3Kut 12:33
Kum. 16:3Kut 12:14; 13:8, 9
Kum. 16:4Kut 12:15; 13:7
Kum. 16:4Kut 12:10; 34:25
Kum. 16:6Kum 16:2
Kum. 16:6Kut 12:6; Hes 9:3; Mt 26:20
Kum. 16:7Kut 12:8; 2Nya 35:13
Kum. 16:72Fa 23:23; Yoh 2:13; 11:55
Kum. 16:8Kut 12:16; Law 23:8
Kum. 16:9Kut 23:16; 34:22; Law 23:15
Kum. 16:10Hes 28:26; 2Nya 8:13
Kum. 16:10Kum 16:17; 1Ko 16:2; 2Ko 8:12
Kum. 16:11Kum 12:7
Kum. 16:11Hes 15:16
Kum. 16:11Kum 10:18
Kum. 16:11Yak 1:27
Kum. 16:11Kum 12:5
Kum. 16:12Mwa 15:13; Kut 3:7; Kum 5:15
Kum. 16:12Mhu 12:13; 1Yo 5:3
Kum. 16:13Kut 23:16; Law 23:34; Hes 29:12; Kum 31:10; Zek 14:16; Yoh 7:2
Kum. 16:14Law 23:40; Kum 12:12; 26:11; Ne 8:10, 17; Mhu 5:18
Kum. 16:15Law 23:36; Ne 8:18
Kum. 16:15Kum 7:13; 28:8; 30:16
Kum. 16:15Flp 4:4; 1Th 5:16
Kum. 16:16Kut 23:14; 34:23
Kum. 16:16Kut 23:15; Law 23:6; Hes 28:17
Kum. 16:16Kum 16:10
Kum. 16:16Kum 16:13
Kum. 16:16Kut 23:15; 34:20; Zb 96:8
Kum. 16:17Kum 16:10; 2Ko 8:12
Kum. 16:18Kut 18:26; Kum 1:16; 2Nya 19:5
Kum. 16:18Hes 11:16; 1Nya 23:4
Kum. 16:19Kut 23:2; Law 19:15; 1Sa 8:3
Kum. 16:19Kum 1:17; Met 24:23; Mdo 10:34
Kum. 16:19Kut 23:8; 1Sa 12:3; Mhu 7:7; Amo 5:12
Kum. 16:20Kum 25:16; Eze 18:8; Mik 6:8
Kum. 16:20Kum 4:1
Kum. 16:21Kut 34:13; Amu 3:7; 2Nya 33:3
Kum. 16:22Kut 23:24; Law 26:1; Kum 12:3
Kum. 16:22Kum 12:31; Yer 44:4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 16:1-22

Kumbukumbu la Torati

16 “Mwezi wa Abibu+ na uadhimishwe, nawe utasherehekea pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu Yehova Mungu wako alikutoa Misri wakati wa usiku.+ 2 Nawe utatoa dhabihu ya pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ mnyama wa kundi na wa mifugo,+ katika mahali ambapo Yehova atapachagua kuweka jina lake.+ 3 Usile chochote chenye chachu pamoja nayo kwa siku saba.+ Utakula pamoja nayo keki zisizo na chachu, mkate wa mateso, kwa sababu ulitoka katika nchi ya Misri kwa haraka,+ ili ukumbuke siku ya kutoka kwako katika nchi ya Misri siku zote za maisha yako.+ 4 Na unga wowote uliokandwa wenye chachu usionekane pamoja nawe katika eneo lako lote kwa siku saba,+ wala nyama yoyote, ambayo utaitoa dhabihu katika jioni ya siku ya kwanza, isikae usiku kucha mpaka asubuhi.+ 5 Hutaruhusiwa kutoa dhabihu ya pasaka katika lolote la majiji yako ambayo Yehova anakupa wewe. 6 Bali mahali ambapo Yehova Mungu wako atapachagua ili jina lake likae,+ hapo utatoa dhabihu ya pasaka wakati wa jioni mara tu baada ya jua kutua,+ wakati uliowekwa wa kutoka kwenu Misri. 7 Nanyi mtapika na kula+ katika mahali ambapo Yehova Mungu wenu atapachagua,+ na wakati wa asubuhi mtageuka na kwenda kwenye mahema yenu. 8 Siku sita mtakula keki zisizo na chachu; na siku ya saba kutakuwako kusanyiko kuu kwa Yehova Mungu wenu.+ Hamtafanya kazi yoyote.

9 “Mtajihesabia majuma saba. Tangu wakati ambapo mundu unawekwa kwa mara ya kwanza kwenye nafaka inayosimama utaanza kuhesabu majuma saba.+ 10 Halafu utasherehekea sherehe ya majuma kwa Yehova Mungu wako,+ kulingana na toleo la hiari la mkono wako ambalo utatoa, kama vile Yehova Mungu wako atakavyokuwa amekubariki.+ 11 Nawe utashangilia mbele za Yehova Mungu wako,+ wewe na mwana wako na binti yako na mtumishi wako na kijakazi wako na Mlawi aliye ndani ya malango yako na mkaaji mgeni+ na mvulana asiye na baba+ na mjane,+ walio katikati yako, katika mahali ambapo Yehova Mungu wako atapachagua ili jina lake likae.+ 12 Nawe utakumbuka kwamba ulikuwa mtumwa katika Misri,+ nawe utashika na kutimiza masharti haya.+

13 “Sherehe ya vibanda+ utaisherehekea kwa ajili yako mwenyewe kwa siku saba wakati ambapo unakusanya kutoka katika uwanja wako wa kupuria na mafuta yako na shinikizo la divai. 14 Nawe utashangilia wakati wa sherehe yako,+ wewe na mwana wako na binti yako na mtumishi wako na kijakazi wako na Mlawi na mkaaji mgeni na mvulana asiye na baba na mjane, walio ndani ya malango yako. 15 Siku saba utamfanyia Yehova Mungu wako sherehe+ katika mahali ambapo Yehova atapachagua, kwa sababu Yehova Mungu wako atakubariki+ katika mazao yako yote na katika kila tendo la mkono wako, nawe utakuwa na shangwe kwelikweli.+

16 “Mara tatu katika mwaka kila mwanamume wa kwako ataonekana mbele za Yehova Mungu wako katika mahali ambapo atapachagua:+ katika sherehe ya keki zisizo na chachu+ na katika sherehe ya majuma+ na katika sherehe ya vibanda,+ na mtu yeyote asionekane mbele za Yehova mikono mitupu.+ 17 Zawadi ya mkono wa kila mtu itakuwa kulingana na baraka za Yehova Mungu wako ambazo amekupa wewe.+

18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu. 19 Usipotoshe hukumu.+ Usipendelee+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotoa maneno ya waadilifu. 20 Haki—haki utaifuatilia,+ ili upate kuendelea kuwa hai nawe umiliki nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+

21 “Usijipandie aina yoyote ya mti ili uwe mti mtakatifu karibu na madhabahu ya Yehova Mungu wako ambayo utajifanyia.+

22 “Wala usijisimamishie nguzo takatifu,+ kitu ambacho Yehova Mungu wako anakichukia kwelikweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki