15 Utaishika sherehe ya keki zisizo na chachu.+ Utakula keki zisizo na chachu+ siku saba, kama vile ambavyo nimekuamuru, wakati uliowekwa katika mwezi wa Abibu,+ kwa sababu katika mwezi huo ulitoka Misri. Nao wasionekane mbele zangu mikono mitupu.+
20 Naye mzaliwa wa kwanza wa punda utamkomboa kwa kondoo.+ Lakini ikiwa hutamkomboa, basi utamvunja shingo yake. Kila mzaliwa wa kwanza wa wana wako utamkomboa.+ Nao wasionekane mbele zangu mikono mitupu.+