Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na ikawa kwamba Farao alipoonyesha ukaidi kwa kukataa kuturuhusu twende zetu,+ ndipo Yehova akamuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri,+ kuanzia mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu kufikia mzaliwa wa kwanza wa mnyama.+ Ndiyo sababu mimi ninamtolea Yehova dhabihu wote wa kiume wanaofungua tumbo la uzazi,+ na kila mzaliwa wa kwanza wa wanangu ninamkomboa.’+

  • Hesabu 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Kila kitu kinachofungua tumbo la uzazi,+ cha kila namna yenye mwili, ambacho watamtolea Yehova, kati ya wanadamu na kati ya wanyama, kinapaswa kuwa chako. Hata hivyo, unapaswa kumkomboa mzaliwa wa kwanza wa wanadamu;+ na mzaliwa wa kwanza wa mnyama ambaye si safi unapaswa kumkomboa.+

  • Hesabu 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na kwa bei ya ukombozi kwa ajili yake kuanzia umri wa mwezi mmoja na kuendelea utamkomboa, kwa thamani iliyokadiriwa, shekeli 5 za fedha kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.+ Ni gera 20.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki