20 Naye mzaliwa wa kwanza wa punda utamkomboa kwa kondoo.+ Lakini ikiwa hutamkomboa, basi utamvunja shingo yake. Kila mzaliwa wa kwanza wa wana wako utamkomboa.+ Nao wasionekane mbele zangu mikono mitupu.+
27 Na ikiwa ni mmoja wa wanyama wasio safi+ naye ni lazima amkomboe kulingana na thamani iliyokadiriwa, basi atatoa sehemu yake ya tano kwa kuongezea juu yake.+ Lakini ikiwa hatanunuliwa, basi atauzwa kulingana na thamani iliyokadiriwa.