12 ndipo lazima umtoe kila anayefungua tumbo la uzazi kwa ajili ya Yehova,+ na kila mzaliwa wa kwanza, mtoto wa mnyama,+ ambaye atakuwa mali yako. Walio wa kiume ni wa Yehova.+
17 Kwa maana anapaswa kumtambua mwana wa yule anayechukiwa kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kumpa sehemu mbili za kila kitu alicho nacho,+ kwa sababu huyo ndiye mwanzo wa nguvu zake za uzazi.+ Haki ya cheo cha mzaliwa wa kwanza ni yake.+