Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 27:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Ila mzaliwa wa kwanza kati ya wanyama, anayezaliwa akiwa mzaliwa wa kwanza kwa ajili ya Yehova,+ mtu yeyote asimtakase. Awe ni ng’ombe au kondoo, ni wa Yehova.+

  • Hesabu 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana kila mzaliwa wa kwanza ni wangu.+ Katika siku niliyompiga na kumuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri+ nilijitakasia kila mzaliwa wa kwanza katika Israeli kuanzia mwanadamu mpaka mnyama.+ Wanapaswa kuwa wangu. Mimi ni Yehova.”

  • Hesabu 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Kila kitu kinachofungua tumbo la uzazi,+ cha kila namna yenye mwili, ambacho watamtolea Yehova, kati ya wanadamu na kati ya wanyama, kinapaswa kuwa chako. Hata hivyo, unapaswa kumkomboa mzaliwa wa kwanza wa wanadamu;+ na mzaliwa wa kwanza wa mnyama ambaye si safi unapaswa kumkomboa.+

  • Kumbukumbu la Torati 15:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Kila mwanamume mzaliwa wa kwanza atakayezaliwa katika mifugo yako na katika kundi lako utamtakasa kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye utumishi wowote na mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe-dume wako, wala kukata manyoya ya mzaliwa wa kwanza wa kundi lako.+

  • Luka 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 sawa na vile ambavyo imeandikwa katika sheria ya Yehova: “Kila mtoto wa kiume anayefungua tumbo la uzazi lazima aitwe mtakatifu kwa Yehova,”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki