Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Nitakasie kila mzaliwa wa kwanza wa kiume anayefungua kila tumbo la uzazi kati ya wana wa Israeli, kati ya wanadamu na wanyama. Ni wangu.”+

  • Kutoka 34:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Kila kitu ambacho kinafungua kwanza tumbo la uzazi ni changu,+ nayo mifugo yako yote, mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe-dume na wa kondoo.+

  • Hesabu 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana kila mzaliwa wa kwanza kati ya wana wa Israeli ni wangu, kati ya mwanadamu na kati ya mnyama.+ Katika siku niliyompiga na kumuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri+ niliwatakasa hao kwa ajili yangu.+

  • Hesabu 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Kila kitu kinachofungua tumbo la uzazi,+ cha kila namna yenye mwili, ambacho watamtolea Yehova, kati ya wanadamu na kati ya wanyama, kinapaswa kuwa chako. Hata hivyo, unapaswa kumkomboa mzaliwa wa kwanza wa wanadamu;+ na mzaliwa wa kwanza wa mnyama ambaye si safi unapaswa kumkomboa.+

  • Luka 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 sawa na vile ambavyo imeandikwa katika sheria ya Yehova: “Kila mtoto wa kiume anayefungua tumbo la uzazi lazima aitwe mtakatifu kwa Yehova,”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki