Hesabu 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana kila mzaliwa wa kwanza miongoni mwa Waisraeli ni wangu, awe mwanadamu au mnyama.+ Niliwatakasa ili wawe wangu siku niliyomuua kila mzaliwa wa kwanza nchini Misri.+
17 Kwa maana kila mzaliwa wa kwanza miongoni mwa Waisraeli ni wangu, awe mwanadamu au mnyama.+ Niliwatakasa ili wawe wangu siku niliyomuua kila mzaliwa wa kwanza nchini Misri.+