12 ndipo lazima umtoe kila anayefungua tumbo la uzazi kwa ajili ya Yehova,+ na kila mzaliwa wa kwanza, mtoto wa mnyama,+ ambaye atakuwa mali yako. Walio wa kiume ni wa Yehova.+
13 Kwa maana kila mzaliwa wa kwanza ni wangu.+ Katika siku niliyompiga na kumuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri+ nilijitakasia kila mzaliwa wa kwanza katika Israeli kuanzia mwanadamu mpaka mnyama.+ Wanapaswa kuwa wangu. Mimi ni Yehova.”