Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Nitakasie kila mzaliwa wa kwanza wa kiume anayefungua kila tumbo la uzazi kati ya wana wa Israeli, kati ya wanadamu na wanyama. Ni wangu.”+

  • Kutoka 22:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Mazao yako kamili na ziada ya shinikizo lako usitoe kwa kusitasita.+ Mzaliwa wa kwanza wa wana wako utanipa mimi.+

  • Kutoka 34:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Kila kitu ambacho kinafungua kwanza tumbo la uzazi ni changu,+ nayo mifugo yako yote, mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe-dume na wa kondoo.+

  • Hesabu 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana kila mzaliwa wa kwanza ni wangu.+ Katika siku niliyompiga na kumuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri+ nilijitakasia kila mzaliwa wa kwanza katika Israeli kuanzia mwanadamu mpaka mnyama.+ Wanapaswa kuwa wangu. Mimi ni Yehova.”

  • Hesabu 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana kila mzaliwa wa kwanza kati ya wana wa Israeli ni wangu, kati ya mwanadamu na kati ya mnyama.+ Katika siku niliyompiga na kumuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri+ niliwatakasa hao kwa ajili yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki