Mambo ya Walawi 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu ni sherehe kwa Yehova ya keki zisizo na chachu.+ Kwa siku saba mtakula keki zisizo na chachu.+ Luka 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Siku ya keki zisizo na chachu sasa ikafika, ambapo mnyama wa pasaka lazima atolewe dhabihu;+
6 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu ni sherehe kwa Yehova ya keki zisizo na chachu.+ Kwa siku saba mtakula keki zisizo na chachu.+