Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Na siku hii itakuwa ukumbusho kwenu, nanyi mtaisherehekea ikiwa sherehe kwa Yehova katika vizazi vyenu vyote. Nanyi mtaisherehekea kama sheria mpaka wakati usio na kipimo.

  • Kutoka 12:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Katika mwezi wa kwanza, siku ya 14 ya mwezi huo, wakati wa jioni mtakula keki zisizo na chachu mpaka siku ya 21 ya mwezi wakati wa jioni.+

  • Mambo ya Walawi 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu ni sherehe kwa Yehova ya keki zisizo na chachu.+ Kwa siku saba mtakula keki zisizo na chachu.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nawe utatoa dhabihu ya pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ mnyama wa kundi na wa mifugo,+ katika mahali ambapo Yehova atapachagua kuweka jina lake.+

  • Mathayo 26:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Katika siku ya kwanza ya keki zisizo na chachu+ wanafunzi wakamjia Yesu, wakisema: “Ni wapi unapotaka tukutayarishie uile pasaka?”+

  • Marko 14:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sasa siku ya kwanza ya keki zisizo na chachu,+ wakati ambapo kidesturi walichinja mnyama wa pasaka, wanafunzi+ wake wakamwambia: “Unataka twende wapi tukakutayarishie ule pasaka?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki