Mambo ya Walawi 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ katikati ya zile jioni mbili ni pasaka+ kwa Yehova. Mambo ya Walawi 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu ni sherehe kwa Yehova ya keki zisizo na chachu.+ Kwa siku saba mtakula keki zisizo na chachu.+ Ezekieli 45:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “ ‘Katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi huo, mtafanya pasaka.+ Hiyo ikiwa ni sherehe ya siku saba, keki zisizo na chachu ndizo zitakazoliwa.+
5 Katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ katikati ya zile jioni mbili ni pasaka+ kwa Yehova.
6 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu ni sherehe kwa Yehova ya keki zisizo na chachu.+ Kwa siku saba mtakula keki zisizo na chachu.+
21 “ ‘Katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi huo, mtafanya pasaka.+ Hiyo ikiwa ni sherehe ya siku saba, keki zisizo na chachu ndizo zitakazoliwa.+