Hesabu 28:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na siku ya kumi na tano ya mwezi huu itakuwa sherehe. Keki zisizo na chachu zitaliwa kwa siku saba.+ Matendo 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Alipoona kuwa jambo hilo limewapendeza Wayahudi,+ akamkamata Petro pia. (Ikawa kwamba hizo zilikuwa siku za keki zisizo na chachu.)+ 1 Wakorintho 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo na tufanye sherehe,+ si kwa chachu+ ya zamani, wala si kwa chachu+ ya ubaya na uovu,+ bali kwa keki zisizo na chachu za unyoofu na kweli.+
17 Na siku ya kumi na tano ya mwezi huu itakuwa sherehe. Keki zisizo na chachu zitaliwa kwa siku saba.+
3 Alipoona kuwa jambo hilo limewapendeza Wayahudi,+ akamkamata Petro pia. (Ikawa kwamba hizo zilikuwa siku za keki zisizo na chachu.)+
8 Kwa hiyo na tufanye sherehe,+ si kwa chachu+ ya zamani, wala si kwa chachu+ ya ubaya na uovu,+ bali kwa keki zisizo na chachu za unyoofu na kweli.+