Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Siku saba mtakula keki zisizo na chachu. Ndiyo, siku ya kwanza mtaondoa unga uliokandwa wenye chachu kutoka katika nyumba zenu, kwa sababu mtu yeyote anayekula kitu kilicho na chachu, kuanzia siku ya kwanza mpaka siku ya saba,+ nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka katika Israeli.+

  • Kutoka 23:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Utaishika sherehe ya keki zisizo na chachu.+ Utakula keki zisizo na chachu+ siku saba, kama vile ambavyo nimekuamuru, wakati uliowekwa katika mwezi wa Abibu,+ kwa sababu katika mwezi huo ulitoka Misri. Nao wasionekane mbele zangu mikono mitupu.+

  • Mambo ya Walawi 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu ni sherehe kwa Yehova ya keki zisizo na chachu.+ Kwa siku saba mtakula keki zisizo na chachu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki