13 Lakini wakati ambapo mtu alikuwa safi au hakuwa ameenda safari naye alipuuza kuitayarisha dhabihu ya pasaka, basi lazima nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka kwa watu wake,+ kwa sababu haikutoa toleo la Yehova katika wakati wake uliowekwa. Mtu huyo atajibu kwa sababu ya dhambi yake.+