13 Lakini ikiwa mtu alikuwa safi au hakuwa amesafiri naye amepuuza kuitayarisha dhabihu ya Pasaka, ni lazima mtu huyo auawe kutoka kati ya watu wake+ kwa sababu hakumtolea Yehova dhabihu hiyo kwa wakati wake uliopangwa. Mtu huyo ataadhibiwa kwa sababu ya dhambi yake.