Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho 5:1

Marejeo

  • +Efe 5:3
  • +Mwa 35:22; Law 18:8; Kum 22:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/1997, uku. 28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 8/15 28

1 Wakorintho 5:2

Marejeo

  • +1Ko 4:18
  • +Eze 9:4; 2Ko 7:9
  • +1Ko 5:13; 2Yo 10

1 Wakorintho 5:3

Marejeo

  • +1Ko 6:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 222

1 Wakorintho 5:4

Marejeo

  • +Yoh 20:23

1 Wakorintho 5:5

Marejeo

  • +Mdo 26:18; 1Ti 1:20
  • +1Ko 7:34
  • +1Ko 1:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2012, uku. 22

    7/15/2008, kur. 26-27

    11/15/2006, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 2/15 22; w08 7/15 26-27; w06 11/15 27

1 Wakorintho 5:6

Marejeo

  • +1Ko 3:21; Yak 4:16
  • +Gal 5:9; 2Ti 2:17
  • +Mhu 9:18; 1Ko 15:33

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 57

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/1993, uku. 5

1 Wakorintho 5:7

Marejeo

  • +Gal 6:15
  • +1Pe 1:19
  • +Yoh 1:29
  • +Ufu 5:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 120

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    4/2018, uku. 2

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2013, uku. 19

    3/15/1994, uku. 4

    3/15/1993, uku. 5

    2/15/1990, uku. 10

    4/15/1988, kur. 27-28

1 Wakorintho 5:8

Marejeo

  • +Kut 13:7
  • +Kum 16:3
  • +Mt 16:12
  • +1Pe 4:3
  • +Yoh 1:17; 17:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/1993, uku. 5

1 Wakorintho 5:10

Marejeo

  • +Ro 1:28; 1Ko 6:9; Efe 5:5
  • +1Yo 2:17
  • +Yoh 17:15

1 Wakorintho 5:11

Marejeo

  • +Hes 16:26; Ro 16:17; 2Th 3:6; 2Yo 10
  • +Efe 5:5
  • +Kum 21:20; 1Ko 6:10; Gal 5:21; 1Pe 4:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 58

    Amkeni!,

    9/8/1996, uku. 27

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/1988, kur. 26-28

  • Fahirishi ya Machapisho

    g96 9/8 27

1 Wakorintho 5:12

Marejeo

  • +Mk 4:11
  • +1Ko 6:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 222

1 Wakorintho 5:13

Marejeo

  • +Mhu 12:14
  • +Mwa 3:24; Kum 17:7; Tit 3:10; 2Yo 10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2015, uku. 30

    5/15/1995, uku. 13

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 5:1Efe 5:3
1 Kor. 5:1Mwa 35:22; Law 18:8; Kum 22:30
1 Kor. 5:21Ko 4:18
1 Kor. 5:2Eze 9:4; 2Ko 7:9
1 Kor. 5:21Ko 5:13; 2Yo 10
1 Kor. 5:31Ko 6:3
1 Kor. 5:4Yoh 20:23
1 Kor. 5:5Mdo 26:18; 1Ti 1:20
1 Kor. 5:51Ko 7:34
1 Kor. 5:51Ko 1:8
1 Kor. 5:61Ko 3:21; Yak 4:16
1 Kor. 5:6Gal 5:9; 2Ti 2:17
1 Kor. 5:6Mhu 9:18; 1Ko 15:33
1 Kor. 5:7Gal 6:15
1 Kor. 5:71Pe 1:19
1 Kor. 5:7Yoh 1:29
1 Kor. 5:7Ufu 5:12
1 Kor. 5:8Kut 13:7
1 Kor. 5:8Kum 16:3
1 Kor. 5:8Mt 16:12
1 Kor. 5:81Pe 4:3
1 Kor. 5:8Yoh 1:17; 17:17
1 Kor. 5:10Ro 1:28; 1Ko 6:9; Efe 5:5
1 Kor. 5:101Yo 2:17
1 Kor. 5:10Yoh 17:15
1 Kor. 5:11Hes 16:26; Ro 16:17; 2Th 3:6; 2Yo 10
1 Kor. 5:11Efe 5:5
1 Kor. 5:11Kum 21:20; 1Ko 6:10; Gal 5:21; 1Pe 4:3
1 Kor. 5:12Mk 4:11
1 Kor. 5:121Ko 6:5
1 Kor. 5:13Mhu 12:14
1 Kor. 5:13Mwa 3:24; Kum 17:7; Tit 3:10; 2Yo 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 5:1-13

1 Wakorintho

5 Kwa kweli kuna habari kwamba kuna uasherati+ katikati yenu, tena uasherati wa namna ambayo hata haimo kati ya mataifa, kwamba mwanamume fulani ana mke wa baba yake.+ 2 Na je, ninyi mnajivuna,+ na badala yake hamwombolezi,+ ili mtu aliyefanya kitendo hicho aondolewe mbali kutoka kati yenu?+ 3 Mimi kwa kweli, ijapokuwa sipo katika mwili bali nipo katika roho, tayari nimemhukumu,+ kana kwamba nipo, mtu huyo ambaye amefanya tendo la namna hiyo, 4 kwamba katika jina la Bwana wetu Yesu, wakati mnapokuwa mmekusanyika pamoja, pia roho yangu pamoja na nguvu za Bwana wetu Yesu,+ 5 mkamkabidhi mtu wa namna hiyo kwa Shetani+ kwa ajili ya kuangamizwa kwa mwili, ili roho+ iokolewe katika siku ya Bwana.+

6 Sababu ya kujisifu+ kwenu si nzuri. Je, hamjui kwamba chachu kidogo huchachisha+ donge lote?+ 7 Ondoleeni mbali chachu ya zamani, ili muwe donge jipya,+ kulingana na mlivyo bila chachu. Kwa maana, kwa kweli, Kristo+ pasaka+ yetu ametolewa dhabihu.+ 8 Kwa hiyo na tufanye sherehe,+ si kwa chachu+ ya zamani, wala si kwa chachu+ ya ubaya na uovu,+ bali kwa keki zisizo na chachu za unyoofu na kweli.+

9 Katika barua yangu niliwaandikia ninyi mwache kuchangamana katika ushirika na waasherati, 10 si kumaanisha kabisa na waasherati+ wa ulimwengu+ huu au watu wenye pupa na wanyang’anyi au waabudu-sanamu. Ikiwa hivyo, kwa kweli ingewabidi mwondoke katika ulimwengu.+ 11 Lakini sasa ninawaandikia ninyi mwache kuchangamana katika ushirika+ pamoja na mtu yeyote anayeitwa ndugu ambaye ni mwasherati au mtu mwenye pupa+ au mwabudu-sanamu au mtukanaji au mlevi+ au mnyang’anyi, hata msile chakula pamoja na mtu wa namna hiyo. 12 Kwa maana inanihusu nini kuwahukumu wale walio nje?+ Je, ninyi hamwahukumu wale walio ndani,+ 13 huku Mungu akiwahukumu wale walio nje?+ “Ondoeni yule mtu mwovu kati yenu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki