Mambo ya Walawi 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ katikati ya zile jioni mbili ni pasaka+ kwa Yehova. Hesabu 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sasa wana wa Israeli watatayarisha dhabihu ya pasaka+ katika wakati wake uliowekwa.+ Hesabu 28:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Na katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi huo, itakuwa pasaka ya Yehova.+ Kumbukumbu la Torati 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Mwezi wa Abibu+ na uadhimishwe, nawe utasherehekea pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu Yehova Mungu wako alikutoa Misri wakati wa usiku.+
5 Katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ katikati ya zile jioni mbili ni pasaka+ kwa Yehova.
16 “Mwezi wa Abibu+ na uadhimishwe, nawe utasherehekea pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu Yehova Mungu wako alikutoa Misri wakati wa usiku.+