Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye ataendelea kukaa chini ya ulinzi wenu mpaka siku ya kumi na nne ya mwezi huu,+ nalo kutaniko zima la kusanyiko la Israeli litamchinja katikati ya zile jioni mbili.+

  • Mambo ya Walawi 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ katikati ya zile jioni mbili ni pasaka+ kwa Yehova.

  • Hesabu 28:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Na katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi huo, itakuwa pasaka ya Yehova.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Mwezi wa Abibu+ na uadhimishwe, nawe utasherehekea pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu Yehova Mungu wako alikutoa Misri wakati wa usiku.+

  • Yoshua 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na wana wa Israeli wakaendelea kupiga kambi katika Gilgali, nao wakasherehekea pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ wakati wa jioni, katika nchi tambarare za jangwa la Yeriko.

  • Marko 14:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sasa siku ya kwanza ya keki zisizo na chachu,+ wakati ambapo kidesturi walichinja mnyama wa pasaka, wanafunzi+ wake wakamwambia: “Unataka twende wapi tukakutayarishie ule pasaka?”+

  • 1 Wakorintho 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ondoleeni mbali chachu ya zamani, ili muwe donge jipya,+ kulingana na mlivyo bila chachu. Kwa maana, kwa kweli, Kristo+ pasaka+ yetu ametolewa dhabihu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki