6 Naye ataendelea kukaa chini ya ulinzi wenu mpaka siku ya kumi na nne ya mwezi huu,+ nalo kutaniko zima la kusanyiko la Israeli litamchinja katikati ya zile jioni mbili.+
16“Mwezi wa Abibu+ na uadhimishwe, nawe utasherehekea pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu Yehova Mungu wako alikutoa Misri wakati wa usiku.+
10 Na wana wa Israeli wakaendelea kupiga kambi katika Gilgali, nao wakasherehekea pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ wakati wa jioni, katika nchi tambarare za jangwa la Yeriko.
12 Sasa siku ya kwanza ya keki zisizo na chachu,+ wakati ambapo kidesturi walichinja mnyama wa pasaka, wanafunzi+ wake wakamwambia: “Unataka twende wapi tukakutayarishie ule pasaka?”+
7 Ondoleeni mbali chachu ya zamani, ili muwe donge jipya,+ kulingana na mlivyo bila chachu. Kwa maana, kwa kweli, Kristo+ pasaka+ yetu ametolewa dhabihu.+