Hesabu 28:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Na katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi huo, itakuwa pasaka ya Yehova.+ Ezekieli 45:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “ ‘Katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi huo, mtafanya pasaka.+ Hiyo ikiwa ni sherehe ya siku saba, keki zisizo na chachu ndizo zitakazoliwa.+
21 “ ‘Katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi huo, mtafanya pasaka.+ Hiyo ikiwa ni sherehe ya siku saba, keki zisizo na chachu ndizo zitakazoliwa.+