Kutoka 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Katika mwezi wa kwanza, siku ya 14 ya mwezi huo, wakati wa jioni mtakula keki zisizo na chachu mpaka siku ya 21 ya mwezi wakati wa jioni.+ Mambo ya Walawi 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu ni sherehe kwa Yehova ya keki zisizo na chachu.+ Kwa siku saba mtakula keki zisizo na chachu.+
18 Katika mwezi wa kwanza, siku ya 14 ya mwezi huo, wakati wa jioni mtakula keki zisizo na chachu mpaka siku ya 21 ya mwezi wakati wa jioni.+
6 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu ni sherehe kwa Yehova ya keki zisizo na chachu.+ Kwa siku saba mtakula keki zisizo na chachu.+