Kutoka 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Nanyi mtashika jambo hili kama sharti+ kwa ajili yenu na wana wenu mpaka wakati usio na kipimo.+ Hesabu 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi wakaitayarisha dhabihu ya pasaka katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi huo katikati ya zile jioni mbili, katika nyika ya Sinai. Kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru Musa, ndivyo wana wa Israeli walivyofanya.+
5 Basi wakaitayarisha dhabihu ya pasaka katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi huo katikati ya zile jioni mbili, katika nyika ya Sinai. Kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru Musa, ndivyo wana wa Israeli walivyofanya.+