Kumbukumbu la Torati 30:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Na wewe, utageuka uisikilize sauti ya Yehova na kufanya amri zake zote ninazokuamuru leo.+ Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.
13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.