Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waefeso 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa njia ya mwili wake+ aliufuta uadui,+ ile Sheria ya amri zilizofanyizwa kwa maagizo,+ ili aumbe vile vikundi viwili vya watu+ katika muungano na yeye mwenyewe viwe mtu mmoja mpya+ na kufanya amani;

  • Wakolosai 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 na kuifuta+ kabisa ile hati iliyoandikwa kwa mkono+ kutupinga, iliyokuwa na amri+ na iliyokuwa ikitupinga sisi;+ na Yeye ameiondoa njiani kwa kuipigilia misumari+ juu ya mti wa mateso.+

  • Waebrania 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa kusema “agano jipya,” Yeye amelifanya lile la zamani kuchakaa.+ Basi kile kinachofanywa kuchakaa na kuzeeka kiko karibu kutoweka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki