Waroma 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Kristo ndiye mwisho wa Sheria,+ ili kila mtu anayeonyesha imani awe na uadilifu.+ Waebrania 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Maana kwa kuwa ukuhani unabadilishwa,+ basi kunakuja kuwa na uhitaji wa kubadilishwa kwa sheria+ pia.
12 Maana kwa kuwa ukuhani unabadilishwa,+ basi kunakuja kuwa na uhitaji wa kubadilishwa kwa sheria+ pia.