Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 3:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Basi, kujisifu+ kuko wapi? Kumefungiwa nje. Kupitia sheria+ gani? Ile ya matendo?+ Hapana, bali kupitia sheria ya imani.+

  • 1 Wakorintho 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa wale wasio na sheria+ nilikuwa kama asiye na sheria,+ ijapokuwa mimi siko bila sheria kwa Mungu bali niko chini ya sheria+ kwa Kristo,+ ili niwapate wale wasio na sheria.

  • Wagalatia 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Endeleeni kubebeana mizigo mizito,+ na hivyo kuitimiza sheria ya Kristo.+

  • Wakolosai 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 na kuifuta+ kabisa ile hati iliyoandikwa kwa mkono+ kutupinga, iliyokuwa na amri+ na iliyokuwa ikitupinga sisi;+ na Yeye ameiondoa njiani kwa kuipigilia misumari+ juu ya mti wa mateso.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki