21 Kwa wale wasio na sheria+ nilikuwa kama asiye na sheria,+ ijapokuwa mimi siko bila sheria kwa Mungu bali niko chini ya sheria+ kwa Kristo,+ ili niwapate wale wasio na sheria.
14 na kuifuta+ kabisa ile hati iliyoandikwa kwa mkono+ kutupinga, iliyokuwa na amri+ na iliyokuwa ikitupinga sisi;+ na Yeye ameiondoa njiani kwa kuipigilia misumari+ juu ya mti wa mateso.+