Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Kwa maana hili ndilo agano+ nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,”+ asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+

  • Waroma 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa maana katika hiyo uadilifu+ wa Mungu unafunuliwa kwa sababu ya imani+ na kuelekea imani, kama vile ilivyoandikwa: “Lakini mwadilifu—ataishi kwa njia ya imani.”+

  • Waroma 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana sheria+ ya ile roho+ ambayo hutokeza uzima+ katika muungano na Kristo Yesu imewaweka ninyi huru+ kutoka katika sheria ya dhambi na kifo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki