Waroma 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa kweli, wakati mmoja nilikuwa hai bila sheria;+ lakini amri ilipofika,+ dhambi ikawa hai tena, lakini mimi nikafa.+ 2 Wakorintho 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ambaye kwa kweli ametustahilisha vya kutosha kuwa wahudumu wa agano jipya,+ si wa sheria zilizoandikwa,+ bali wa roho;+ kwa maana sheria zilizoandikwa huleta hukumu+ ya kifo, bali roho hufanya kuwa hai.+
9 Kwa kweli, wakati mmoja nilikuwa hai bila sheria;+ lakini amri ilipofika,+ dhambi ikawa hai tena, lakini mimi nikafa.+
6 ambaye kwa kweli ametustahilisha vya kutosha kuwa wahudumu wa agano jipya,+ si wa sheria zilizoandikwa,+ bali wa roho;+ kwa maana sheria zilizoandikwa huleta hukumu+ ya kifo, bali roho hufanya kuwa hai.+