Waroma 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi, nauliza, Je, Mungu aliwakataa watu wake?+ Hilo lisitendeke kamwe! Kwa maana mimi pia ni Mwisraeli,+ wa uzao wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.+ Waebrania 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kwa maana alikuwa bado katika viuno+ vya babu yake wakati Melkizedeki alipokutana naye.+
11 Basi, nauliza, Je, Mungu aliwakataa watu wake?+ Hilo lisitendeke kamwe! Kwa maana mimi pia ni Mwisraeli,+ wa uzao wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.+