Zaburi 37:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sheria ya Mungu wake imo katika moyo wake;+Hatua zake hazitayumba-yumba.+ Waebrania 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “ ‘Hili ndilo agano nitakalofanya kwao baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika mioyo yao, nami nitaziandika katika akili zao,’ ”+
16 “ ‘Hili ndilo agano nitakalofanya kwao baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika mioyo yao, nami nitaziandika katika akili zao,’ ”+