Kumbukumbu la Torati 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na maneno haya ninayokuamuru leo lazima yawe moyoni mwako;+ Zaburi 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Mungu wangu, nimependezwa na kufanya mapenzi yako,+Na sheria yako imo ndani yangu.+ Waebrania 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “ ‘Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika akili yao, nami nitaziandika katika mioyo yao.+ Nami nitakuwa Mungu wao,+ nao watakuwa watu wangu.+
10 “ ‘Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika akili yao, nami nitaziandika katika mioyo yao.+ Nami nitakuwa Mungu wao,+ nao watakuwa watu wangu.+