Zaburi 112:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 112 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ ב [Behth]Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+ Yohana 4:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yesu akawaambia: “Chakula+ changu ni mimi kufanya mapenzi+ yake aliyenituma na kuimaliza kazi yake.+ Waroma 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa kweli naipenda+ sheria ya Mungu kulingana na mtu+ niliye kwa ndani, Waebrania 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 ndipo anasema: “Tazama! nimekuja kufanya mapenzi yako.”+ Anaondolea mbali lile la kwanza ili asimamishe lile la pili.+
112 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ ב [Behth]Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+
34 Yesu akawaambia: “Chakula+ changu ni mimi kufanya mapenzi+ yake aliyenituma na kuimaliza kazi yake.+
9 ndipo anasema: “Tazama! nimekuja kufanya mapenzi yako.”+ Anaondolea mbali lile la kwanza ili asimamishe lile la pili.+