Zaburi 111:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin]Wale wote wanaoyatenda maagizo yake wana ufahamu mwema.+ ת [Taw] Sifa yake inasimama milele.+ Zaburi 115:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ninyi mnaomwogopa Yehova, mtegemeeni Yehova;+Yeye ndiye msaada wao na ngao yao.+ Zaburi 128:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 128 Mwenye furaha ni kila mtu anayemwogopa Yehova.+Anayetembea katika njia zake.+
10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin]Wale wote wanaoyatenda maagizo yake wana ufahamu mwema.+ ת [Taw] Sifa yake inasimama milele.+