Methali 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Anayetumia ufahamu katika jambo atapata mema,+ naye anayemtegemea Yehova+ ni mwenye furaha. Yeremia 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Amebarikiwa yule mtu hodari anayemtegemea Yehova, na ambaye Yehova amekuwa uhakika wake.+