Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nao wakaja kusaidiwa kupigana nao, hivi kwamba Wahagri na wale wote waliokuwa pamoja nao wakatiwa mkononi mwao, kwa maana walikuwa wameomba msaada+ kutoka kwa Mungu katika vita, naye akakubali kusihiwa awape kibali kwa sababu walimtegemea.+

  • Zaburi 34:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Onjeni mwone ya kuwa Yehova ni mwema;+

      Mwenye furaha ni mwanamume ambaye humkimbilia.+

  • Zaburi 146:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,+

      Ambaye tumaini lake liko katika Yehova Mungu wake,+

  • 1 Timotheo 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana kwa kusudi hili tunafanya kazi kwa bidii na kujikaza wenyewe,+ kwa sababu tumeweka tumaini+ letu juu ya Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi+ wa watu wa namna zote,+ hasa wa watu waaminifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki