Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 5:1

Marejeo

  • +Mwa 29:32
  • +Mwa 49:3
  • +Mwa 35:22; 49:4; Law 20:11; Kum 27:20; 1Ko 5:1
  • +Mwa 49:26; Kum 21:17; Yos 14:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 9

1 Mambo ya Nyakati 5:2

Marejeo

  • +Mwa 49:8, 10; Hes 2:3; 10:14; Amu 1:2; Zb 60:7
  • +Mt 2:6; Ebr 7:14
  • +Mwa 49:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 9

1 Mambo ya Nyakati 5:3

Marejeo

  • +Mwa 46:9
  • +Kut 6:14
  • +Hes 26:6

1 Mambo ya Nyakati 5:6

Marejeo

  • +2Fa 16:7

1 Mambo ya Nyakati 5:7

Marejeo

  • +1Nya 7:40

1 Mambo ya Nyakati 5:8

Marejeo

  • +1Nya 5:4
  • +Hes 32:34; Kum 2:36
  • +Hes 32:38; Isa 15:2
  • +Yos 13:17; Eze 25:9

1 Mambo ya Nyakati 5:9

Marejeo

  • +Mwa 15:18; Kum 1:7; Yos 1:4; 2Sa 8:3
  • +Yos 22:9; Wim 4:1

1 Mambo ya Nyakati 5:10

Marejeo

  • +Kut 23:30

1 Mambo ya Nyakati 5:11

Marejeo

  • +Yos 13:24
  • +Kum 3:10
  • +Yos 12:5; 13:11

1 Mambo ya Nyakati 5:16

Marejeo

  • +Mwa 31:21; Hes 32:1; Kum 3:10
  • +Kum 3:13; 32:14; Yer 50:19
  • +Kum 3:4; 4:43; Yos 12:4; 20:8

1 Mambo ya Nyakati 5:17

Marejeo

  • +2Fa 15:32; 2Nya 27:1; Isa 1:1; Ho. 1:1; Mik 1:1
  • +2Fa 14:16, 28

1 Mambo ya Nyakati 5:18

Marejeo

  • +2Sa 17:10
  • +Yos 4:12

1 Mambo ya Nyakati 5:19

Marejeo

  • +1Nya 5:10; Zb 83:6
  • +Mwa 25:15
  • +1Nya 1:31

1 Mambo ya Nyakati 5:20

Marejeo

  • +2Nya 14:11; Zb 44:3
  • +Zb 9:10; 20:7; 22:4; Ebr 11:33

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 9

1 Mambo ya Nyakati 5:21

Marejeo

  • +Hes 31:32
  • +Hes 31:35

1 Mambo ya Nyakati 5:22

Marejeo

  • +Kum 20:4; Yos 10:42; 23:10; 1Sa 17:47; 2Nya 20:15; Ro 8:31
  • +2Fa 15:29; 17:6

1 Mambo ya Nyakati 5:23

Marejeo

  • +Hes 32:33; Yos 13:29
  • +Yos 13:30
  • +Amu 3:3
  • +Wim 4:8; Eze 27:5
  • +Kum 4:48; Zb 42:6; 133:3

1 Mambo ya Nyakati 5:25

Marejeo

  • +Amu 2:17; 8:33; 2Fa 17:10
  • +Kum 5:9; Amu 2:2; Zb 106:36

1 Mambo ya Nyakati 5:26

Marejeo

  • +Ezr 1:1; Met 21:1
  • +2Fa 15:19
  • +Isa 10:5
  • +2Fa 15:29; 16:7
  • +2Fa 17:23
  • +2Fa 17:6; 18:11

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 5:1Mwa 29:32
1 Nya. 5:1Mwa 49:3
1 Nya. 5:1Mwa 35:22; 49:4; Law 20:11; Kum 27:20; 1Ko 5:1
1 Nya. 5:1Mwa 49:26; Kum 21:17; Yos 14:4
1 Nya. 5:2Mwa 49:8, 10; Hes 2:3; 10:14; Amu 1:2; Zb 60:7
1 Nya. 5:2Mt 2:6; Ebr 7:14
1 Nya. 5:2Mwa 49:26
1 Nya. 5:3Mwa 46:9
1 Nya. 5:3Kut 6:14
1 Nya. 5:3Hes 26:6
1 Nya. 5:62Fa 16:7
1 Nya. 5:71Nya 7:40
1 Nya. 5:81Nya 5:4
1 Nya. 5:8Hes 32:34; Kum 2:36
1 Nya. 5:8Hes 32:38; Isa 15:2
1 Nya. 5:8Yos 13:17; Eze 25:9
1 Nya. 5:9Mwa 15:18; Kum 1:7; Yos 1:4; 2Sa 8:3
1 Nya. 5:9Yos 22:9; Wim 4:1
1 Nya. 5:10Kut 23:30
1 Nya. 5:11Yos 13:24
1 Nya. 5:11Kum 3:10
1 Nya. 5:11Yos 12:5; 13:11
1 Nya. 5:16Mwa 31:21; Hes 32:1; Kum 3:10
1 Nya. 5:16Kum 3:13; 32:14; Yer 50:19
1 Nya. 5:16Kum 3:4; 4:43; Yos 12:4; 20:8
1 Nya. 5:172Fa 15:32; 2Nya 27:1; Isa 1:1; Ho. 1:1; Mik 1:1
1 Nya. 5:172Fa 14:16, 28
1 Nya. 5:182Sa 17:10
1 Nya. 5:18Yos 4:12
1 Nya. 5:191Nya 5:10; Zb 83:6
1 Nya. 5:19Mwa 25:15
1 Nya. 5:191Nya 1:31
1 Nya. 5:202Nya 14:11; Zb 44:3
1 Nya. 5:20Zb 9:10; 20:7; 22:4; Ebr 11:33
1 Nya. 5:21Hes 31:32
1 Nya. 5:21Hes 31:35
1 Nya. 5:22Kum 20:4; Yos 10:42; 23:10; 1Sa 17:47; 2Nya 20:15; Ro 8:31
1 Nya. 5:222Fa 15:29; 17:6
1 Nya. 5:23Hes 32:33; Yos 13:29
1 Nya. 5:23Yos 13:30
1 Nya. 5:23Amu 3:3
1 Nya. 5:23Wim 4:8; Eze 27:5
1 Nya. 5:23Kum 4:48; Zb 42:6; 133:3
1 Nya. 5:25Amu 2:17; 8:33; 2Fa 17:10
1 Nya. 5:25Kum 5:9; Amu 2:2; Zb 106:36
1 Nya. 5:26Ezr 1:1; Met 21:1
1 Nya. 5:262Fa 15:19
1 Nya. 5:26Isa 10:5
1 Nya. 5:262Fa 15:29; 16:7
1 Nya. 5:262Fa 17:23
1 Nya. 5:262Fa 17:6; 18:11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 5:1-26

1 Mambo ya Nyakati

5 Na wana wa Rubeni+ mzaliwa wa kwanza wa Israeli—kwa maana yeye alikuwa ndiye mzaliwa wa kwanza;+ lakini kwa kuwa alikitia unajisi kitanda cha baba yake,+ haki yake akiwa mzaliwa wa kwanza ilipewa wana wa Yosefu+ mwana wa Israeli, hivi kwamba yeye hakuandikishwa kiukoo kwa ajili ya haki ya mzaliwa wa kwanza. 2 Kwa maana Yuda+ alikuwa mkuu kati ya ndugu zake, na kiongozi alitoka kwake;+ lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu+ — 3 wana wa Rubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli walikuwa Hanoki+ na Palu,+ Hezroni na Karmi.+ 4 Wana wa Yoeli walikuwa Shemaya mwana wake, Gogu mwana wake, Shimei mwana wake, 5 Mika mwana wake, Reaya mwana wake, Baali mwana wake, 6 Beera mwana wake, ambaye Tilgath-pilneseri+ mfalme wa Ashuru alimpeleka uhamishoni, yeye akiwa mkuu wa Warubeni. 7 Na ndugu zake kulingana na familia zao katika maandikisho ya kiukoo+ kulingana na wazao wao walikuwa, Yeieli akiwa kichwa, na Zekaria, 8 na Bela mwana wa Azazi mwana wa Shema mwana wa Yoeli+ —alikuwa akikaa katika Aroeri+ mpaka Nebo+ na Baal-meoni.+ 9 Hata upande wa mashariki alikaa mpaka mahali ambapo mtu huingilia nyikani kwenye mto Efrati,+ kwa kuwa mifugo yao ilikuwa imekuwa mingi sana katika nchi ya Gileadi.+ 10 Na katika siku za Sauli walipigana na Wahagri,+ walioanguka kwa mkono wao; basi wakakaa katika mahema yao katika nchi yote upande wa mashariki wa Gileadi.

11 Na wana wa Gadi+ mbele yao, walikaa katika nchi ya Bashani+ mpaka Saleka.+ 12 Yoeli alikuwa ndiye kichwa, Shafamu wa pili, na Yanai na Shafati katika Bashani. 13 Na ndugu zao wa nyumba ya mababu zao walikuwa Mikaeli na Meshulamu na Sheba na Yorai na Yakani na Zia na Eberi, saba. 14 Hawa ndio waliokuwa wana wa Abihaili mwana wa Huri, mwana wa Yaroa, mwana wa Gileadi, mwana wa Mikaeli, mwana wa Yeshishai, mwana wa Yahdo, mwana wa Buzi; 15 Ahi mwana wa Abdieli, mwana wa Guni, kichwa cha nyumba ya mababu zao. 16 Nao wakaendelea kukaa katika Gileadi,+ katika Bashani+ na miji yake ya kandokando+ na katika viwanja vyote vya malisho vya Sharoni mpaka miisho yake. 17 Wote walikuwa wameandikishwa kiukoo katika siku za Yothamu+ mfalme wa Yuda na katika siku za Yeroboamu+ mfalme wa Israeli.

18 Kwa habari ya wana wa Rubeni na Wagadi na nusu ya kabila la Manase; kati ya wale waliokuwa watu mashujaa,+ wanaume wanaochukua ngao na upanga na kupinda upinde na kuzoezwa katika vita, kulikuwa na 44,760 wanaoingia jeshini.+ 19 Nao wakaanza kupigana na Wahagri,+ na Yeturi+ na Nafishi+ na Nodabu. 20 Nao wakaja kusaidiwa kupigana nao, hivi kwamba Wahagri na wale wote waliokuwa pamoja nao wakatiwa mkononi mwao, kwa maana walikuwa wameomba msaada+ kutoka kwa Mungu katika vita, naye akakubali kusihiwa awape kibali kwa sababu walimtegemea.+ 21 Nao wakateka mifugo yao,+ ngamia zao 50,000, na kondoo 250,000, na punda 2,000, na nafsi za binadamu 100,000.+ 22 Kwa maana kulikuwa na wengi ambao walianguka wakiwa wameuawa, kwa sababu pigano lilikuwa la Mungu wa kweli.+ Nao wakaendelea kukaa mahali pao mpaka wakati wa ule uhamisho.+

23 Kwa habari ya wana wa nusu ya kabila la Manase,+ walikaa katika nchi kutoka Bashani+ mpaka Baal-hermoni+ na Seniri+ na Mlima Hermoni.+ Nao wakawa wengi sana. 24 Na hawa ndio waliokuwa vichwa vya nyumba ya mababu zao: Eferi na Ishi na Elieli na Azrieli na Yeremia na Hodavia na Yahdieli, wanaume waliokuwa mashujaa, watu wenye nguvu, wanaume wenye sifa, vichwa vya nyumba ya mababu zao. 25 Nao wakaanza kutenda kwa ukosefu wa uaminifu kumwelekea Mungu wa mababu zao, wakawa wakifanya uasherati+ na miungu+ ya vikundi vya watu wa nchi hiyo, ambao Mungu alikuwa ameangamiza kutoka mbele yao. 26 Kwa hiyo Mungu wa Israeli akachochea roho+ ya Pulu+ mfalme wa Ashuru,+ roho ya Tilgath-pilneseri+ mfalme wa Ashuru, hivi kwamba akawapeleka uhamishoni+ Warubeni na Wagadi na nusu ya kabila la Manase, akawaleta mpaka Hala+ na Habori na Hara na mto Gozani waendelee kuwako mpaka leo hii.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki