26 Baraka za baba yako kwa kweli zitakuwa kuu kuliko baraka za milima ya milele,+ kuliko pambo la vilima vinavyodumu mpaka wakati usio na kipimo.+ Zitaendelea kuwa juu ya kichwa cha Yosefu, ndiyo, juu ya utosi wa kichwa cha yule aliyetengwa na ndugu zake.+