Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili kupigana kwa ajili yenu juu ya adui zenu apate kuwaokoa ninyi.’+

  • Yoshua 10:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Na Yoshua akateka wafalme hao wote na nchi zao wakati mmoja,+ kwa kuwa ni Yehova Mungu wa Israeli aliyekuwa akipigania Israeli.+

  • Yoshua 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mtu mmoja tu kati yenu atafukuza elfu,+ kwa maana Yehova Mungu wenu ndiye anayewapigania ninyi,+ kama vile ambavyo amewaahidi ninyi.+

  • 1 Samweli 17:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Na kutaniko hili lote watajua kwamba Yehova haokoi kwa upanga wala kwa mkuki,+ kwa sababu vita ni vya Yehova,+ naye atawatia ninyi mkononi mwetu.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi akasema: “Sikilizeni kwa makini, Yuda wote nanyi wakaaji wa Yerusalemu na Mfalme Yehoshafati! Tazama, Yehova amewaambia ninyi hivi, ‘Msiogope+ wala msiwe na hofu kwa sababu ya umati huu mkubwa; kwa maana vita si vyenu bali ni vya Mungu.+

  • Waroma 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki