Kutoka 23:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Na nitatuma mbele yako hali ya kuniogopa,+ nami hakika nitawavuruga watu wote utakaoingia katikati yao, nami kwa kweli nitakupa shingo za adui zako wote.+ Kumbukumbu la Torati 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Msiwaogope, kwa maana Yehova Mungu wenu Ndiye anayewapigania ninyi.’+ Kumbukumbu la Torati 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili kupigana kwa ajili yenu juu ya adui zenu apate kuwaokoa ninyi.’+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
27 “Na nitatuma mbele yako hali ya kuniogopa,+ nami hakika nitawavuruga watu wote utakaoingia katikati yao, nami kwa kweli nitakupa shingo za adui zako wote.+
4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili kupigana kwa ajili yenu juu ya adui zenu apate kuwaokoa ninyi.’+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+