6 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Usiogope kwa sababu yao,+ kwa maana kesho karibu wakati kama huu nitawatoa wote kwa Israeli wakiwa wamechinjwa. Mtawalemaza farasi wao kwa kuwakata mishipa ya upande wa nyuma wa magoti,+ nayo magari yao mtayateketeza kwa moto.”+