16 Ila tu asiongeze farasi kwa ajili yake,+ wala kuwafanya watu warudi Misri ili kuongeza farasi;+ huku Yehova amewaambia ninyi, ‘Msirudi kamwe tena katika njia hii.’
9 Kisha Yoshua akawatendea kama vile Yehova alivyokuwa amemwambia: akakata mishipa ya upande wa nyuma wa magoti ya farasi wao,+ nayo magari yao akayateketeza katika moto.+
4 Naye Daudi akateka kutoka kwake wapanda-farasi 1,700 na watu 20,000 wanaoenda kwa miguu;+ na Daudi akakata mishipa ya magoti+ ya farasi+ wote wa magari, lakini akawaacha wabaki kati yao farasi 100 wa magari.